USHONAJI:

Maandalizi ya ushonaji wa nguo .Kwanza kabisa unahitaji uwe na mashine ya kushona,sindano,nyuzi,vifungo vya Aina zote kuendana Aina ya nguo unayo Shona kwa wakati huo. Pia unahitaji mkasi  kwaajili ya kukata nguo, vitambaa .unahitaji uwe stifu,custaban mafuta ya kulainisha mashine,sindano za akiba .Pia zifuatazo ni hatua za kuandaa nguo kabla ya kushona,Tumia meza yenye urefu wa sentimeta150 upana 150 uwe pia rula kubwa Aina yapembe tatu mraba .Utaratibu wa ukataji  wa nguo  andaa nguo yaani kitambaa ,kunja kimbaa  halafu kata sketi ,kata kifua ukizingatia upana na urefu kifua kipande Cha nyuma kata mikono  kata kola kwajili ya shingo mwisho kata mshipi.

USHONAJINA: unganisha mikono  na sketi ya chini ,unganisha kola na nguo  pinda pindo la chini. Baada ya kumaliza chukua mkasi kata nyuzi zinazo ninginia,kwenye nguo nyosha kwa kutumia pasi yenye moto wa wastan kuendana na aina kimbaa ulichoshona

Noosha hakikisha inkuwa safi tay kwa kuvaa.hakikisha mwonekano wa nguo yako ni Safi. Asante kwa kupendakupenda kusikiliza.

Comments

Popular posts from this blog